Use APKPure App
Get Mwongozo wa Bembea ya Maisha old version APK for Android
Utangulizi, jalada, anwani, maudhui, wahusika, mbinu za usemi, maswali n.k.
Madhumni ya kuandika mwongozo huu ni kumrahisishia mwalimu na mwanafunzi kazi na kumpa mwelekeo unaofaa. Mwongozo huu umeeangazia masuala ibuka katika utahini wa karatasi ya tatu ya kiswahili katika mtihani wa KCSE.
Kitabu hiki kimeangazia vipengele via uandishi wa Fasihi andishi. kv Mtindo, Dhamira, Wahusika, Muundo, Maudhui, Lugha n.k
Tamthilia ya 'Bembea ya Maisha' ni Kitabu ambacho kimeandikwa na Mwandishi shupavu na mashuhuri nchini kenya Timothy Arege ambaye pia aliandika Tamthilia ya 'Mstahiki Meya.' nk
Informations de contact:
Tél : +254718055483
Adresse e-mail : [email protected]
Whatsapp : https://api.whatsapp.com/send?phone=+254718055483
Page Facebook : https://www.facebook.com/profile.php?id=100088220378456
Chaîne YouTube : https://youtube.com/@mwalimu_Sifuna
Last updated on Sep 5, 2023
API 33
Android 13 support
Telechargé par
Alexander Devan Aguste Groskam
Nécessite Android
Android 5.0+
Catégories
Signaler
Mwongozo wa Bembea ya Maisha
10.10 by Mwalimu Sifuna
Sep 5, 2023